What's Trending?

Labels

Ads

Friday, July 31, 2015

DR.SLAA AFUNGUKA RASMI KUHUSU KASHFA JUU YAKE YA KUHAMA CHADEMA NA KWENDA CHAMA KINGINE....MAJIBU HAYA HAPA

     HABARI ZA HIVI PUNDE: "HAKUNA SINTOFAHAMU YOYOTE KATI YA YANGU MIMI Dr. Slaa, Mbowe, Mnyika, Tundulisu na wengineo kwa ujio wa mgeni Mhe. Lowassa wala hakuna
chochote kilichoharibika ndani ya CHADEMA, NCCR, NLD, CUF wala kwa wanachama, wafuasi na wapenzi wa UKAWA.

No comments:

Post a Comment