What's Trending?

Labels

Ads

Sunday, October 11, 2015

Diamond Platnumz anyakua tuzo tatu za AFRIMMA 2015


Tayari ‘Icon’ wa Tanzania Diamond Platnum ‘Dangote wa Bongo’ ameweza kuibuka na ushindi wa tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo Africa Muzik Magazine Award ‘AFRIMMA 2015’. Marekani katika mji wa Texas.
(Pichani ni baada ya ushindi huo, Diamond aliweza kuweka picha yake hiyo kupitia mitandao yake yote ya kijamii na kuandika: I realy don’t know What to say …dha! hata sijui nizungumze nini…
(Eeh Mungu baba tunakushkuru sana kwa kuzidi kuunyanyua na kuupa Thamani mziki wetu wa Afrika Mashariki…tafadhali endelea kutushika mkono, usituache)
#BestDanceVideo #EastAfricanArtistOfTheYear #AfricanArtistOfYear #afrimma2015″ Hivyo ndivyo alivyofunguka Diamond katika kurasa zake za mitandao ya kijamii huku akipata hongera nyingi kutoka kwa mashabiki wake mbalimbali.



Diamond akiwa na Basket wakati wa tuzo hizo jana usiku
hii ndio list ya washindi.

Best Male (South Africa) – AKA

Best Male (East Africa) – Diamond Platnumz

Best Male (Central Africa) – Yuri Da Cunha

Best Male (West Africa) – Davido

Best Female (East Africa) – Vanessa Mdee

Best Female (West Africa) – Yemi Alade

AFRIMMA Inspirational Song – Bracket feat. Tiwa Savage and Diamond Platnumz for ‘Alive’

Best DJ (US) – DJ Simplesimon

Best Newcomer – Ommy Dimpoz

Best Collaboration – AKA feat. Da Les and Burna Boy for ‘All Eyes on Me’

Best Dance Video – Diamond Platnumz for ‘Nana’

Best Video – Wizkid for ‘Ojuelegba’

Artist of the Year – Diamond Platnumz

Legendary Award – Yossou N’Dou
See the first photos.





























































No comments:

Post a Comment