Ikulu ya Marekani, “White House,” imeeleza kwamba wataalamu hao wa Marekani wataongezwa katika wakufunzi 3,100 wa Marekani, ambao tayari wapo nchini Iraq.
Pia imeeleza kwamba waziri mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi, aliomba Wamarekani zaidi na Pentagon, pia ilitoa pendekezo kama hilo.
Marekani inapanga kufungua mafunzo mapya katika eneo la al-Taqqadum, kambi ya anga iliyopo jangwani ambayo ilihudumu kama kiungo cha shughuli za kijeshi nchini humo.
Pia imeeleza kwamba waziri mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi, aliomba Wamarekani zaidi na Pentagon, pia ilitoa pendekezo kama hilo.
Marekani inapanga kufungua mafunzo mapya katika eneo la al-Taqqadum, kambi ya anga iliyopo jangwani ambayo ilihudumu kama kiungo cha shughuli za kijeshi nchini humo.
No comments:
Post a Comment