What's Trending?

Labels

Ads

Monday, October 12, 2015

Bodi ya mikopo yatoa taarifa rasmi kuhusu taarifa orodha ya majina ya waombaji wa Mikopo waliofanikiwa.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidwEOguIlGjwOAqZ3qwL8zQZIu5Gg6bAPEt5wVASLZVwy4-YTzTmmj1cBkaR6jVh9R82s7Xh8Tg8q30iWyPJkKbPgSTeVMSObhcMcxEMiLHpkXKpKQtzxMWljl2pqnsSVLHwOeoIh5LhSJ/s1600/2.JPG
TAARIFA YA UFAFANUZI
Tunapenda kufafanua kuwa taarifa zinazosambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa orodha ya majina ya waombaji wa Mikopo waliofanikiwa kwa mwaka wa masomo 2015/2016 imetoka sio za kweli. Kwa sasa, kazi ya uchambuzi wa maombi ya mikopo yaliyowasilishwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu bado inaendelea.

No comments:

Post a Comment