What's Trending?

Labels

Ads

Sunday, September 13, 2015

PICHA 10 ZA FLOYD MAYWEATHER AKIMTEMBEZEA KICHAPO ANDRE BERTO

Kumaliza career yake ya boxing Mayweather alimchagua Andre Berto kucheza nae pambano la mwisho ambalo ni la 49. Kama ilivyotegemewa na wengi kwamba lazima Berto angechezea kichapo basi imekua hivyo hivyo na Mayweather amefikia 49-0 na kumaliza
career yake bila kupigwa na boxer yoyote.Japokuwa watu bado hawajafurahia michezo 49, wanasisitiza kumaliza kwa michezo 50 ndio rekodi nzuri. Mayweather mwenyewe anaendelea kusisitiza kwamba huu ndio mchezo wake wa mwisho kwenye boxing.Karatasi
ya takwimu za mchezo huo umeonyesha jinsi gani Mayweather amecheza vizuri na kushinda bil ubishi.












































No comments:

Post a Comment