Polisi mkoani Kilimanjaro wakiwa wameuzuia msafara wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais kupitia Chadema na anaeungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa katika kijiji cha Maroro, Wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro, hii leo wakati anakwenda
kuhudhuria mazishi ya Kada na Mwasisi wa Chama cha Mapinduzi CCM, mzee Peter Kisumo huko Usangi.
kuhudhuria mazishi ya Kada na Mwasisi wa Chama cha Mapinduzi CCM, mzee Peter Kisumo huko Usangi.

Edward Lowassa akizungumza na wanacham wa vyama mbalimbali walioji







Kisumo aliaga dunia Agosti 3, 2015, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam, ambako alikuwa anapatiwa matibabu ya figo, ikiwa ni mwezi mmoja tangu arejee nchini akitokea nchini India.




No comments:
Post a Comment