Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kushoto akisalimiana na Waziri wa mambo ya nje Bernaed Membe wakati wa mkutano kuu wa chama tawala cha Mapinduzi (CCM) ambapo wagombea urais ndani ya chama hicho walikuwa wakichujwa na kumchagua Dk Magufuli kwa kura nyingi kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu otoba 25 mwaka huu, Vikao hivyo vilifanyika Dodoma.
Waziri wa mambo ya nje Bernaed Membe kushoto akimsalimia waziri mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa wakati wa mkutano kuu wa chama tawala cha Mapinduzi (CCM) ambapo wagombea urais ndani ya chama hicho walikuwa wakichujwa kupitia vikao vya ndani. 

No comments:
Post a Comment