What's Trending?

Labels

Ads

Sunday, July 26, 2015

Kristina Bobby Brown afariki


                BREAKINGNEWS
  picha ya Bobbi Kristina Brown        picha ya Bobbi Kristina Brown        
Mtoto wa mwimbaji maarufu wa zamani hayati Whitney Houston amefariki duniani Jumapili


Kristina Bobbi KBrown amefariki dunia baada ya kuugua kwa miezi saba . Taarifa zilizothibitishwa na vyombo vya vhabari kadhaa vya Marekani vinasema Christina alifariki Jumapili.
Binti Bobbi Kristina Brown ambae pia baba yake ni mwimbaji maarufu wa R&B Bobby Brown  amefariki baada ya takriban miezi 7 tangu alipopatikana akiwa amezirai kwenye bafu na kukimbizwa hospitali .
Bobbi Christina mwenye umri wa miaka 22 alikutwa  akiwa ameanguka ndani ya nyumba kwenye jimbo la Atlanta , Georgia alipokuwa akiishi na Nick Brown aliyemwita mumewe.
   
 chanzo cha habari ni Sauti ya Amerika

No comments:

Post a Comment