
Rais wa gambia Yahya Jammeh
Rais wa taifa la Gambia ambaye amekaa kwa kipindi kirefu madarakani Yahya Jammeh ameongezwa jina la Babili Mansa juu ya jina lake.
Kulingana na kabila la Mandika jina hilo lina maana ya 'mtengezaji daraja mkuu' ama 'mshindi wa mito'.
No comments:
Post a Comment