What's Trending?

Labels

Ads

Saturday, June 20, 2015

RAIS WA GAMBIA AONGEZEWA JINA JINGINE

Rais wa gambia Yahya Jammeh
Rais wa taifa la Gambia ambaye amekaa kwa kipindi kirefu madarakani Yahya Jammeh ameongezwa jina la Babili Mansa juu ya jina lake.

Kulingana na kabila la Mandika jina hilo lina maana ya 'mtengezaji daraja mkuu' ama 'mshindi wa mito'.

Taarifa kutoka kwa rais imesema kuwa rais Jammeh sasa anapaswa kuitwa mtukufu Sheikh Profesa Alhaji daktari Yahya AJJ Jammeh Babili Mansa.

No comments:

Post a Comment